Kutwa, kucha nakuwaza,
japo wewe wanikwaza,
wafanya moyo wangu kudunda,
hata nikachukia kitanda.
...
Read full text
hhhhhh kumbe shairi kama hili, latoka wapi bila wewe Grace, kazi nzuri kweli
mahabuba wa moyo uliyemthamini kwa lugha yako mwanana.endelea kuandika dada.
Lovely and nice poem keep it up